Mwanamuziki mwenye mvuto wa asili ya kikolombia ataungana pamoja na wasanii kama Wycleif Jean na Carlos Santana pamoja na wengineo katika kutumbuiza katika fainali za kombe la dunia hiko Rio de Janeiro, Brazil Julai 13, 2014.
MSANII MREMBO "SHAKIRA" NI MIONGONI MWA WANASII WATAKAO TUMBUIZA KATIKA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA 2014.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Friday, July 04, 2014
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA