Mchekeshaji kutoka nchini Uganda maarufu kma ANNE KANSIIME tayari amekwisha wasiri jijini Dar es salaam, ambapo tarehe 2 August katika ukumbi wa Golden Tulip atawavunja mbavu watu kibao watakaofika kumtazama mchekeshaji huyo mwenye kipaji asilia.
MCHEKESHAJI KUTOKA UGANDA 'ANNE KANSIIME' WASIRI NCHINI.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Thursday, July 31, 2014
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA