Header Ads

Breaking News
recent

MSANII 'CIARA AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME NA RAPPER 'FUTURE'.

Ciara na mzazi mwenzake 'Future'.
Mwimbaji Ciara na mchumba wake rapper Future wamepata mtoto wa kiume waliyempa jina la Future Zahir. Ciara na Future Ciara (28) amejifungua siku ya Jumatatu asubuhi (May 19) huko Los Angeles, Marekani. Future Zahir ni mtoto wa kwanza kwa Ciara na kwa Future anakuwa mtoto wanne. Jana Ciara alipost picha ya mkono wa mwanaye Instagram..

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.