MSANII WA MUZIKI WA DANCE "MUHIDIN GURUMO" AFARIKI DUNIA.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, EAST AFRICA TV wameelezea habari hii "Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Dansi nchini
Tanzania ambaye alitangaza kustaafu mwaka uliopita Muhidin Maalim Gurumo
amefariki dunia leo April 13, 2014 saa 9 Alasiri katika hospitali ya
Taifa Muhimbili.
Taarifa kutoka kwa meneja wake zinasema kuwa Marehemu mzee Gurumo alikuwa akisumbuliwa na taizo la mapafu kujaa maji.
Mipango ya mazishi inafanywa mara baada ya familia yake kukutana kwa kushirikiana na Chama cha Muziki Tanzania."
Taarifa kutoka kwa meneja wake zinasema kuwa Marehemu mzee Gurumo alikuwa akisumbuliwa na taizo la mapafu kujaa maji.
Mipango ya mazishi inafanywa mara baada ya familia yake kukutana kwa kushirikiana na Chama cha Muziki Tanzania."

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA