Director na Producer anayetengeneza ngoma kali za video hapa Bongo, maarufu kama Nisher Bybee, amefunguka kupitia ukurasa wake wa Facebook kuwa, video ya wimbo wa "Chuna Buzi" wa Shilole anaoutengeneza, umekwisha kamilika kwa asilimia 97. So soon utadondoka hapa Asili Yetu Tanzania.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA