Header Ads

Breaking News
recent

AsiliYetuTz: PICHA - HUYU NDIYE LUPITA NYONG'O (KENYA) - MSHINDI WA TUZO ZA OSCAR 2014.

Lupita Nyong'o ni muigizaji kutoka Kenya, anayefanya shughuli zake za uigizaji kule Marekani. Mwanadada huyu ameonekana kung'ara sana katika tuzo za Oscar za mwaka huu 2014 siku ya jumapili, ikiwa ni baada ya kunyakua tuzo ya muigizaji bora kupitia movie aliyoigiza ya "12 years a slave". Lupita sasa anamiaka 31.



Muigizaji Lupita akiwa anafurahia tuzo yake mara baada ya kuitia mkononi.

 Hapa ni wakati ule wa mwanamuziki Pharrell Wiliam (kulia) akidance na mwanadada Lupita Nyong'o katika tuzo hizo za Oscar 2014.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.