Mwanadada Lady Yoo akiwakilisha sanawari anakuja na new idea kwa jina "Poa"
ikiwa ni hatua za awali katika kukamilisha mixtape yake kwa jina
"Nyumbani Africa" itakayodrop kabla ya pasaka, 2014, ngoma ni mkono toka
Atown Records chini ya producer WaBak...
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA