Header Ads

Breaking News
recent

MIXTAPE MPYA: "BUNDUKI VOL. 1". NI WASANII WA HIP HOP TANZANIA.

 Mixtape/kanda mseto ambayo imejumuisha wasanii wa hip hop tofauti tofauti.
 
Pia imejaribu kuelezea mambo tofauti kama vile maisha ya mtaani, mapenzi, battle n.k.
 
Baadhi Wasanii walio husika katika mixtape hii ni Mansu – Li, Nikki Mbishi, Zaiid, PMC, Songa, One the Incredible,Wakazi, Tabla,X-Dizzo, Kimbunga,Nash Mcee,Phil Techniques, Azma, Ghetto Ambassador n.k.
 
Itaanza  kupatikana mtaani tarehe 2 ya mwezi wa 11 ambapo itazinduliwa rasmi pale msasani club kwenye tamasha la HIP HOP FESTIVAL MECHANDISE linaloandaliwa na TAMADUNIMUZIK.
,

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.