Header Ads

Breaking News
recent

BAADA YA MADEE KUTESA NA WIMBO WA "POMBE YANGU" SASA ANAKUJA NA "TEMA MATE TUWACHAPE".

Kwamujibu wa chanzo cha habari hii msanii Madee anatarajia kuachia wimbo mpya unaoitwa "Tema Mate Tuwachape" ikiwa ni baada ya kutesa na ngoma yake ya "Pombe Yangu".

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.