Header Ads

Breaking News
recent

MAFUNZO YA SAUTI YA JINSI YA KUTUMIA KONDOMU ZA "LADY PEPETA" KWA WANAWAKE, KUTOKA KAMPUNI YA "T - MARC".

Mtoa elimu ya maswala ya matumizi ya kondomu za Dume na Lady Pepeta, Lightness Minja kutoka T-MARC, akitoa mafunzo kwa mtangazaji katika banda la kampuni ya T-MARC wakati wa maonyesho ya nane nane jijini Arusha..
 Kondomu za kike ni mipira nyororo kabisa inayovaliwa katika uke wakati wa kufanya mapenzi ili kuzuia mimba na kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya magongwa ya zinaa. Huenda kukawa na aina nyingi za kondomu za kike, lakini hapa ninaangazia kondomu aina ya "Lady Pepeta" ambayo ni mashuhuri.

Lady Pepeta inatengenezwa na "The Female Helth Company" Hapa nchini inasambazwa na T-MARC kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

SIKILIZA HAPA MAFUNZO YA KUTUMIA KONDOMU ZA KIKE.
 
.
Watoa mafunzo ya jinsi ya kutumia kondomu kwa usahihi wakiongea na mwana habari katika banda la kampuni ya T-MARC wakati wa maonyesho ya nane nane jijini Arusha.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.