USIKOSE KUSIKILIZA "DANGER ZONE LIFE" - MARA MOJA KWA WIKI.
Ni kipindi cha mahojiano kitakacho sikika mara moja kwa wiki kupitia blog mbali mbali zitakazo hitaji kushare kipindi hiki.
LENGO kuu likiwa ni kumsaidia kijana wa kitanzania aweze kujitambua na kuelewa matokeo ya kitu au tabia aifanyayo kwa bahati mbaya au makusudi, njisi itakavyo athiri maisha yake na ni vipi ataweza kuepukana nayo na kujikwamua kwa kutumia fursa zinazo mzunguka ili kukabiliana na maisha yanayomuingiza katika hatari.
Tutazungumza na wataalamu wa mambo mbali mbali ya kijamii kama madaktari, wanasaikologia, wanasheria, Makampuni ya simu, mafundi, wafanyabiashara wadogo na wakubwa, wafanyakazi, wanafunzi, wasanii wa muziki na filamu pamoja na wananchi wa kawaida ambao watakuwa wakisikika katika kipindi hiki cha dakika 15 cha mahojiano yani "DANGER ZONE LIFE".
Tutasikika katika mtandao wa Internet tu, ambapo tutahitaji msaada wenu wadau ili kipindi chetu kiweze kusajiliwa na kudhaminiwa kusikika Redioni, hivyo tunakaribisha Taasisi na makampuni kuwasiliana nasi tufanye kazi matangazotz@yahoo.com.
LENGO kuu likiwa ni kumsaidia kijana wa kitanzania aweze kujitambua na kuelewa matokeo ya kitu au tabia aifanyayo kwa bahati mbaya au makusudi, njisi itakavyo athiri maisha yake na ni vipi ataweza kuepukana nayo na kujikwamua kwa kutumia fursa zinazo mzunguka ili kukabiliana na maisha yanayomuingiza katika hatari.
Tutazungumza na wataalamu wa mambo mbali mbali ya kijamii kama madaktari, wanasaikologia, wanasheria, Makampuni ya simu, mafundi, wafanyabiashara wadogo na wakubwa, wafanyakazi, wanafunzi, wasanii wa muziki na filamu pamoja na wananchi wa kawaida ambao watakuwa wakisikika katika kipindi hiki cha dakika 15 cha mahojiano yani "DANGER ZONE LIFE".
Tutasikika katika mtandao wa Internet tu, ambapo tutahitaji msaada wenu wadau ili kipindi chetu kiweze kusajiliwa na kudhaminiwa kusikika Redioni, hivyo tunakaribisha Taasisi na makampuni kuwasiliana nasi tufanye kazi matangazotz@yahoo.com.

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA