Nelson
Mandela anatimiza miaka 95 hii leo. Kusherekea- watu duniani
wanaadhimisha miaka 67 ya Mandela ya kuhudumia taifa kwa kufanya mambo
mema kwa dakika 67 leo. Je utafanya/umefanya nini kwa dakika 67 leo
kuadhimisha hilo?
NELSON MANDELA LEO ATIMIZA MIAKA 95 YA KUZALIWA KWAKE.
Reviewed by
KISHINDO TZ
on
Thursday, July 18, 2013
Rating:
5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA