Header Ads

Breaking News
recent

MFALME MSWATI KUFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA JULAI MOSI JIJINI DAR ES SALAAM

Mfalme Mswati wa Swaziland anatarajiwa kufungua maonyesho ya 37 ya biashara ya kimataifa Julai Mosi mwaka huu katika viwanja Vya maonyesho ya biashara vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam. 

Kaimu mkurugenzi mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania-Tantrade- Bibi Jaquline Maleko amesema nchi zipatazo 32 zenye makampuni 400 zinashiriki katika maonyesha hayo, makampuni ya ndani elfu moja na mia 6 pamoja na wizara na taasisi sabini zinashiriki katika maonyesho hayo.

Source: ITV Tanzania

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.