PICHA: BOMU LA SADIKIWA KULIPUKA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA NA KUJERUHI WENGI, HUKU WENGINE WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA.
Mlipuko wa kishindo ulisikika katika viwanja vya Soweto
mjini Arusha, ikiwa ni takribani saa 12 jioni,
wakati mheshimiwa Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA wakiwa katika harakati
za kufunga kampeni za uchaguzi wa madiwani unaotarajiwa kufanyika hapo kesho.
Tukio
kama hili lilitokea takribani mwezi mmoja uliopita jijini Arusha
lakini kabla uchunguzi ukiwa bado haujatoka, mengine yameibuka
upya!!!!!!!
Ripoti kamili haijatoka kutoka jeshi la polisi, lakini
inahofiwa kuwa watu wanne wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa. Please
pray for us!!!
Mheshimiwa Lema akiwahutubia wananchi kabla ya tukio kutokea (Picha na Seria wa Arusha 255)
(PICHANI NI HELICOPTER YA MBOWE WAKATI IKIWA KATIKA HARAKATI
ZA KUTUA SOWETO).
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA