ITV HABARI: HALI YA TAHARUKI IMETOKEA KATIKA SHULE YA SEC MANZESE, WANAFUNZI KUANGUKA OVYO.
Hali ya taharuki imetokea katika shule ya sekondari Manzese jijini Dar
es salaam baada ya zaidi ya wanafunzi 40 kupatwa na ugonjwa wa kuanguka
ovyo na kusababisha kukatishwa kwa masomo na kulazimishwa wanafunzi
kurudi nyumbani kwa kuhofia usalama wao.
Source: ITV TANZANIA
Source: ITV TANZANIA
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA