Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: HALI YA TAHARUKI IMETOKEA KATIKA SHULE YA SEC MANZESE, WANAFUNZI KUANGUKA OVYO.

Hali ya taharuki imetokea katika shule ya sekondari Manzese jijini Dar es salaam baada ya zaidi ya wanafunzi 40 kupatwa na ugonjwa wa kuanguka ovyo na kusababisha kukatishwa kwa masomo na kulazimishwa wanafunzi kurudi nyumbani kwa kuhofia usalama wao.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.