Header Ads

Breaking News
recent

FLAVIANA MATATA ASHIRIKI MISA YA KUWAKUMBUKA WAHANGA WA AJALI YA MV BUKOBA.

 Flaviana Matata akiwa na Baba yake mzazi katika Misa ya  maombolezo ya Ajali ya MV Bukoba ambapo Flaviana alimpoteza Mama yake mzazi, Igoma,Mwanza

Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya kuomboleza katika Makaburi ya Igoma Mwanza walikozikwa baadhi wananchi walopoteza maisha yao miaka 17 iliyopita.

 Flaviana Matata akiwa na marafiki na baadhi ya waombolezaji waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo.

Source by Jestina - George

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.