CASH CLAN - "WAKALI WA KITAA" SIKILIZA NGOMA HII HAPA.
Cash clan Yaja Tena na "Wakali wa Kitaa", Ngoma ambayo wamerekodi pande za noizmekah studios Arusha Tanzania kwa usimamizi wa producer Defxtro, Pata kuusikiliza HAPA na endelea kusupport muziki wa Tanzania

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA