Header Ads

Breaking News
recent

PAPA BENEDICT WA XVI ATANGAZA KUJIUZULU WADHIFA WAKE.

Kiongozi wa dhehebu la la waroma duniani , Papa Benedict wa 16 ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo siku ya jumatatu saa 2 usiku tarehe 28.2 2013.
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 85 amesema amuamua kujiuzuru katika nafasi hiyo maana hana nguvu tena za kusimamia shughuli hizo kutokana na uzee pia na matatizo ya kiafya.

Kiongozi huyo ambaye alikuwa ni papa wa 265, alianza kazi zake April 19, 2005 na atakuwa ni papa wa kwanza kujiuzulu kwa karne 6 zilizopita.

Kadinali mkuu wa Vatican atasimamia shughuli zake hadi pale watakapochagua Papa mwingine.

SOURCE: http://goo.gl/ATmbQ

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.