Header Ads

Breaking News
recent

MWANAMKE MFUPI DUNIANI SASA ATIMIZA MIAKA 18, PICHA ZIKO HAPA.

Kama utakuwa na kumbu kumbu mwaka jana niliandika kuhusu mwanamke mfupi kulikowote duniani. Basi  Februari  3 ametimi miaka kumi na nane.
Binti huyu JYOTI AMGA kutoka nchini India ametimiza miaka 18 baada ya mwaka jana kuvunja rekodi ya dunia ya Guiness kwa kuwa na urefu wa Inchi 24.7.

Anacheza na kitu cha IPOD ya APPLE. Chezea wewe!!!!!!!!!!!!!!!

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.