Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu huku mmoja ambaye ni mtoto yatima na mfanyakazi wa ndani akiuawa kikatili kwa kunyongwa na ndugu wa mwenye nyumba katika mtaa wa Kawawa katika manispaa ya Musoma mkoani Mara.
ITV HABARI: WATU WAWILI WAUAWA KIKATILI MKOANI MARA.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Saturday, February 23, 2013
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA