Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA NGUO WAPOTEZA FAHAMU BAADA YA HITILAFU YA UMEME.

Wafanyakazi zaidi ya 65 wa kiwanda cha kutengeneza fulana cha Mazava kilichopo Msamvu mkoani Morogoro wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro, zaidi ya 30 wakipoteza kabisa fahamu, baada ya kukosa hewa, kufuatia hitilafu ya umeme iliyotokea kiwandani hapo na kusababisha moshi mzito.

Chanzo: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.