Header Ads

Breaking News
recent

SIKU YA MAZISHI YA SAJUKI IKO TAYARI.


Pichani kati ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano.Sayansi na Teknolojia,Mh January Makamba akipata maelezo mafupi kutoka kwa Rais wa  Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF),Simon Mwakifwamba (wa pili kushoto) kuhusiana na mikakati na mipango mbalimbali ya mazishi ya Marehemu Sadick Juma Kilowoko a.k.a Sajuki,nyumbani kwao Tabata Bima,jijini Dar.

Mke wa marehemu Sajuki akifarijiwa na mh. January Makamba.
 Aidha kwa taarifa rasmi kutoka kwa Simon Mwakifwamba ameeleza kuwa mazishi ya marehemu yatafanyika kwenye makaburi ya Kisutu siku ya Ijumaa mapema saa tano asubuhi.Kuli kwa Naibu Waziri ni Mkurugenzi wa utafiti wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba.na Rais wa  Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF),Simon Mwakifwamba akitoa maelezo mafupi kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano.Sayansi na Teknolojia,Mh January Makamba kuhusiana na taratibu mbalimbali kuhusiana na msiba huo,huku baadhi ya wasanii wengine mahiri wa filamu wakisikiliza kwa makini.

Mzee Kilowoko(baba mzazi wa marehemu Sajuki) akifarijiwa


(PICHA NA IMELDA MTEMA, GPL).. Global Publishers

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.