Header Ads

Breaking News
recent

POLISI WATUMIA RISASI ZA MOTO KUFUATIWA VURUGU DUMILA - ITV HABARI.


Mji wa Dumila leo umerindima risasi za moto kufuatia Vurugu kubwa za wakulima kufunga barabara ya Morogoro Dodoma kwa zaidi ya saa 5 wakipinga serikali ya wilaya kutoa maeneo ya wakulima kwa wafugaji ambapo mtu mmoja amefariki dunia katika vurugu hizo na wengine kujeruhiwa.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.