PICHA ZA MSIBA WA SAJUKI NYUMBANI KWAKE.
Mchekeshaji
maarufu wa The comedy Masanja Mkandamizi akijifuta jasho kwa mbali
akielekea msibani nyumbani kwa Marehemu Sajuki. Masanja alikuwa ni mmoja
wa wahamishaji katika kuchangia pesa za matibabu ya marehemu Sajuki
kwenda nchini India kupitia kipindi cha Luninga cha The Comedy
kinachorushwa na Televisheni ya TBC.
Mbunge wa Kinondoni Mh. Iddi Azzan naye aliangusha saini kwenye kitabu hicho.
Source: H@ki Ngowi (PICHA )
Mbunge wa Kinondoni Mh. Iddi Azzan naye aliangusha saini kwenye kitabu hicho.
Mbunge
wa jimbo la Segerea, Dar es Salaam, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi
na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akitia saini katika kitabu cha
maombolezo nyumbani kwa marehemu Sajuki.
![]() |
| Bw. Ridhiwani Kikwete akimfariji mama mzazi wa Marehemu Sajuki alipofika nyumbani hapo kuhani msiba huo. |
Mwenyekiti
wa kamati ya Kusaidia timu ya Taifa ya Vijana Serengeti Boys Bw.
Ridhiwani Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa
marehemu Sajuki leo.
Source: H@ki Ngowi (PICHA )










No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA