LADY YOO - RAPPA MDOGO KUTOKA ARUSHA AMEACHIA 'HARDCORE HIP HOP.
Binti mwenye umri mdogo ulioambatana na kipaji kikubwa katika kughani anayekwenda kwa jina Lady Yoo, anadrop brand new single "lady yoo" ilosukwa pande za noizmekah.com ikiwa ni hardcore hiphop track inayomtambulisha mwanadada rappa katika game.sikiliza na kudownload HAPA na kwa mawasiliano zaidi kuhusu mahojiano na Bookings na Lady Yoo check +255 758 394 470
LADY YOO - RAPPA MDOGO KUTOKA ARUSHA AMEACHIA 'HARDCORE HIP HOP.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Tuesday, January 15, 2013
Rating: 5
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Tuesday, January 15, 2013
Rating: 5

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA