Header Ads

Breaking News
recent

FASTJET YA RAHISISHA ULIPIAJI WA TIKETI ZAKE ZA NDEGE KWA KUTUMIA M - PESA.


Habari Njema: Sasa Unaweza kulipia tiketi yako ya ndege kupitia Vodacom Tanzania M- Pesa.

Mfumo huu wa malipo Kutumia simu ya mkononi unarahisisha kufanya malipo ya tiketi yako kwa urahisi zaidi kuliko awali, Huitaji Akaunti ya benki . Unachotakiwa ni kutumia namba yako ya kumbukumbu uliyopata baada ya kufanya booking kwenye mtandao wetu na uitume kwenye akaunti namba ya fastjet; 900900.

Good news - we've made payments for fastjet flights faster! You can now pay for fastjet flights using Vodacom Tanzania M-Pesa. No need for a bank account or cash. Just use your unique booking number as a reference when booking online and send to fastjet's business number 900900.
Find out more here: www.fastjet.com/tz/blog/introducing-mpesa-mobile-payments

Source: Fastjet Facebook Page

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.