Header Ads

Breaking News
recent

VITUKO: MARUBANI WAFANYIWA USAHILI KWA KUNUSWA MAKWAPA.

Mmojawapo akifanyiwa usahili wa kunuswa kwapa.

Shirika maarufu la ndege Uchina, limeweka masharti kwamba mbali na elimu na uzoefu lazima usinuke. Ukiwa mwili wako una harufu mbaya basi kazi huna. Ni China huko.

Kwa mujibu wa gazeti la SZ News shirika hilo katika kuajiri marubaNi wapya lazima mtu ananuswa makwapa.

Ukiwa unakikwapa, au makwapa yako yana harufu unanyimwa kazi.
Kabla ya kuajiriwa katika shirika hilo la ndege. Hatua ya kwanza ni kunuswa kwapa zako.

Wakuu wa shirika hilo wanajitetea wakisema, kwa vile marubani wanafanya kazi karibu zaidi na watu basi ni lazima wasiwe na harufu ya kutisha kwani harufu mbaya ya miili yao au makwapa huenda ikawapunguzia wateja.
Source: BBC

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.