Header Ads

Breaking News
recent

KALAPINA ADAI KUDISSIWA NA BOUNAKO KATIKA WIMBO WAKE MPYA.


Msanii Kala Pina pichani amefunguka kuhusu Bou Nako kumdis kwenye ngoma mpya ambayo Bou Nako ameiachia hivi karibuni nakusema kuwa anashangaa kusikia hivyo kwani ni muda mrefu ulipita tangu bifu kati yake na msanii huyo itokee..MSIKILIZE hapo chini..


BuoNako naye alizungumzia sababu za kumdiss Kala Pina kwenye hiyo ngoma..MSIKILIZE....

  

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.