Hofu kubwa imewakumba wananchi wa manispaa ya Musoma na wilaya ya
Butiama mkoani Mara, baada ya kuibuka kundi la watu ambalo limekuwa
likiwakamata watu barabarani na kuwachinja kisha kuondoka na vichwa
pamoja na viungo vyao vingine vya miili, ambapo katika kipindi cha wiki
mbili zaidi ya watu kumi wameuawa kwa ukatili huo.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA