Header Ads

Breaking News
recent

KATIBU WA MUFTI ZANZIBAR, SHEKH FADHIL SORAGA AMWAGIWA TINDIKALI.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha Huduma ya Kwanza katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazoezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.

Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye Gari la Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya taifa Muhimbili Dar es Salaam baada ya kurushiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazoezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe
Wananchi mbalimbali wakishuhudia Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Sheikh Fadhil Soraga akiwahishwa katika Hospitali ya taifa Muhimbili Dar es Salaam baada ya kurushiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazoezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
(Picha na Yussuf Simai-Maelezo Zanzibar).

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.