Header Ads

Breaking News
recent

HILI NDILO GARI ALILOPATANALO AJALI SHARO MILIONEA LIKIWA LIMEHARIBIKA VIBAYA.

 Mjomba wa marehemu Sharo Millionea, Bwana Omary Fundikira asema marehemu anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho, Jumatano. Hii ni kutokana na msanii mwenzake John Maganga kuzikwa leo.
Pia rafiki wa marehemu bwana Mohamed Ismail ambaye ndiye aliyemuazimisha gari alilopata nalo ajali, asema ilitakiwa waongozane kwenda Tanga pamoja ila alishindwa maana alipata majukumu mengine.
Shuhuda wa ajali akiwa amesimama mbele ya gali. 
 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.