Header Ads

Breaking News
recent

WANACHUO CHA UANDISHI WA HABARI 'AJTC' ARUSHA, WAKITEMBELEA CHUO CHA MAFUNZO KWA WALEMAVU 'USA RIVER' ARUSHA.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Mmoja wa wana chuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC) aking'ara kwenye picha, wakati wanachuo hao walipotembelea chuo cha mafunzo kwa walemavu cha 'USA RIVER' ARUSHA. Na hapa walikua ndani ya chumba cha mavazi yanayotengenezwa chuoni hapa.
Wanachuo hawa wa chuo cha Uandishi wa habari Arusha (AJTC)  wakiwa ndani ya chuo hichi walipewa vipeperushi, na hapa wanapitia pitia wakati ziara ikiwa inaendelea.
Wa kwanza kushoto ni Gadiola, mmiliki wa www.wazalendo25.blogspot.com ambaye ndiye aliyechukua picha za tukio zima akiwa na wakufunzi na wanafunzi wa vyuo vyote viwili wakiwa katika picha ya pamoja.
Hizi ni bidhaa zinazofanywa na walemavu wa chuo hicho.
Mitindo mbali mbali ya mavazi itengenezwayo chuoni hapo.

Kiongozi wa trip ya wanachuo hao akichunguza kwa makini baadhi ya kazi inayofanywa chuoni hapo.
 Kiongozi wa wanachuo cha AJTC - akionekana pichani na wanachuo cha Ulemavu cha USA RIVER ARUSHA.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.