Header Ads

Breaking News
recent

SOPHIA SIMBA NA 'ASHA BAKARI KHAMIS' WASHINDA UCHAGUZI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA (UWT) DODOMA.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

 
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mhe. Sophia Simba na Makamu wake Mwenyekiti Mhe.Asha Bakari Khamis, wakiwa na furaha baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu wa umoja huo uliofanyika katika ukumbi wa chuo cha mpiango Dodoma.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.