Header Ads

Breaking News
recent

KAMANDA WA POLISI MKOANI MWANZA AUWAWA NA MAJAMBAZI.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Marehemu kamanda Liberatus Barlow.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Barlow ameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.

Taarifa ambazo zimethibitishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Said Mwema zinasema kuwa Kamanda Barlow aliuawa wakati wakumrudisha dada yake kutoka katika kikao cha harusi ya ndugu yao huko Kitangili Mkoani Mwanza.

Taarifa kwa kina bado hazijaeleza mkasa mzima ulivyokuwa.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.