Header Ads

Breaking News
recent

WASANII KUTOKA KENYA "KREW FT. BANX ...(Nikiwa Mtaa) na (Weekend) Narx (katika chorus).

Asili Yetu © All rights reserved



Mc's toka 254 aka Kenya wanaokwenda kwa jina "KREW" wanadrop na kazi mpya zilizoundwa pande za noizmekah.com chini ya defxtro wakiwashirikisha Banx katika "nikiwa mtaa" na pini la "weekend" wakimshirikisha  mwanadada Narx" katika kiitikio. KREW" ni umoja wa wasanii wawili; Junior  na Jaypizzo wenye mwamko zaidi katika kufanya muziki wa Hiphop na crunk, Tunafurahi kuvuka border kimuziki kwa maana safari yetu ndio kwanza tumeanza,Much Respect kwa Mkurugenzi wa MamboJambo Radio Arusha alietupa connection kuwakilisha katika Summer Jam siku ya Iddi pamoja na kutuwezesha kurekodi nyimbo tatu kwa DefXtro.Hii ni hatua nzuri kwetu maana sasa tracks zimeongezeka mbali na "High School," Muggin, 'na Bye Baby",ambazo tulisharecord Underdawg Productions na Sniper Recs Huku Kenya..For interviews/Booking/Projects wasiliana +254 725784770 na +254 725085980...Enjoy "Nikiwa Mtaa" tuliomshirikisha Banx.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.