Header Ads

Breaking News
recent

MAISHA PLUS KUFANYA LEO USAHILI WA MWISHO KWA WASHIRIKI WA SHINDANO HILO PALE MILENIUM TOWER - KIJITONYAMA DAR ES SALAAM.

Asili Yetu © All rights reserved


Nafasi ya mwisho ya usahili kwa ajili ya kushiriki shindano la Maisha Plus  utakaofanyika jijini Dar es Salaam leo siku ya Jumatatu, Septemba 24 pale Millenium Tower, Kijitonyama.
Wale waliochukua fomu na ambao bado hawajachukua, wafike Millenium Tower ghorofa ya kwanza waulizie KP Shop.
Kwa wale wenye ndoto ya kushiriki katika shindano hili mwaka huu, Jumatatu ndio itakuwa siku ya mwisho kujaribu bahati yao kwani ukiikosa itabidi usubiri mpaka mwakani.
Kwa wapenzi wa shindano hili stay glued to TBC1 kwasababu soon burudani itakufuata sebuleni kwako.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.