Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA WASHINDI NA WADAU WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA 2012

Mdau wa muziki nchini, muda mfupi baada ya kuwasili katika tuzo za "Kilimanjaro Tanzania Music"  akiwa ni mmoja kati ya wadau maalum walio alikwa katika tuzo hizo.
Ali Kiba akiwa na dada yake pembeni wakati alipo twaa tuzo ya wimbo bora wa zuku rumba..."Dushelele"
Roma akiwa na Izzo B baada ya kuchukua tuzo ya wimbo bora wa Hip hop na baada ya muda mfupi pia alinyakua tuzo ya msanii bora wa Hip hop.
Diomond akitoa shukurani za dhati kwa familia yake pamoja na mashabiki wake baada ya kukabidhiwa Tunzo kutoka kwa msanii Chid Benzi.Diomond aliongoza kwa kupata tuzo tatu.
Gadna G Habash akimuwakirisha mkewe Lady Jay dee wakati wa kupokea tunzo yake.
Adam Mchonvu a.k.a Baba Jonii akijiandaa kumpatia tuzo msanii Barnabar
Barnabar akitoa shukurani baada ya kukamata tuzo yake.
Khadija Kopa
Isha Mashauzi (mkurya wa kwanza kuimba taarabu) akimikamata tunzo ya wimbo bora wa taarabu.
Queen Darlin akitoa shukurani kwa mashabiki baada ya kukabidhiwa tuzo ya wimbo bora wa Ragga/dancehall.
Worrier From The East wakiwa wameshikilia tunzo ya wimbo bora wa Rege (Arusha gold).

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.