Header Ads

Breaking News
recent

KUWA MWANGALIFU KATIKA KUCHORA TATOO MWILINI MWAKO.

All rights reserved to Asili Yetu.

Siku chache zilizopita katika ukurasa wa Global Publisher msanii mahili wa filamu na muziki bongo Zuwena Mohamedi a.k.a  'Shilole' alisema tangu achore tatoo ya Nyoka yenye nywele mwilini mwake mwanzoni mwa mwaka huu, amekuwa  akiweweseka na kuota anakimbizwa na nyoka, ndoto ambazo zinamfanya akose usingizi na kujikuta akijiuliza kwa nini alijichora alama hizo mwilini.

Kutokana na kuweweseka huko, Shilole alisema alijaribu kufanya jitihada za kuzifuta lakini aligonga mwamba kwani zinafutika baada ya miezi sita.
“Najuta kwa nini nilijichora hizi tatuu za nyoka na mwewe kwa sababu zinanyima usingizi, nimejaribu kuzifuta lakini hazifutiki hivyo nasubiri zifutike taratibu maana sina la kufanya tena”, alisema Shilole.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.