Masadali camp toka Rchuga waliowahi kutoka na ngoma kadhaa
ikiwemo,"wakilisha","tutang'ang'ania mic" na pia nyimbo ya "Amani" bila
kusahau "Nafeel hiphop" sasa wanakuja na pini lao
jipya kabisa la "FOOLS SAY", lilorekodiwa pande za noizmekah studios
chini ya producer defxtro..
Kundi hili linaundwa na ma MC watatu-Rolion, Maskillz na Super baster, Hip hop haijafa mazee ni support tu iongezwe, mashabiki zetu watupokee katika game kwenye kazi hii mpya na zingine zijazo ikiwemo single tutakayo rekodi baadae ya "rules may change" na pia project Album ambayo tutaiita "Outmitted"...
Kundi hili linaundwa na ma MC watatu-Rolion, Maskillz na Super baster, Hip hop haijafa mazee ni support tu iongezwe, mashabiki zetu watupokee katika game kwenye kazi hii mpya na zingine zijazo ikiwemo single tutakayo rekodi baadae ya "rules may change" na pia project Album ambayo tutaiita "Outmitted"...