Kundi la hiphop toka arusha,Vatoloco soldiers wakiongozwa na FiDO wanakuja na brand new track toka noizmekah inayokwenda kwa jina la "situations",ngoma inayozungumzia maisha na uhalisia wa msoto ndani ya mtaa,"hiphop ndo maisha yetu everyday na revolution goes on and on, Mafans wategemee album yetu ya "Ungalimi to Queens" hivi karibuni", asema FiDO.Kama kawaida chorus kasmamia "Lavosti" na verse ya pili "Ibra da Husla", naVerse ya tatu kakanyagia "Bobray"...Harakati zingine mbali na kurecord audio za kumalizia album ni video shooting ya nyimbo kadhaa na leo 2namalizia video ya "Situations" chini ya camera za hoodpixx kwa usimamizi wa m2 mzima DEFXTRO wa noizmekah.. | |
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA