Forbes imetoa orodha ya wana Hip Hop matajiri zaidi duniani 2018. JAY-Z
ameongoza na $ 900M.
JAY-Z ameingiza zaidi ya $ 90M tangu mwaka jana na
imetokana na kuwa na share kwenye champagne ya Armand de Brignac na
D'Ussé cognac. Pia umiliki wa Roc nation na Tidal.
Orodha ya Wasanii wa Hip Hop Matajiri Zaidi Duniani 2018 Jay Z Aongoza.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Friday, March 02, 2018
Rating: 5