Header Ads

Breaking News
recent

Shule 10 Zilizofanya Vizuri Kitaifa katika Matokeo ya Kidato cha Nne 2017/2018.

Baraza la mitihani Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne na shule zilizofanya vizuri kwa mwaka 2017 ambapo Jumla ya watahiniwa 385,767 walisailiwa kufanya mtihani.

Akitangaza matokeo hayo leo mbele ya waandishi wa Habari, Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde ametaja shule hizo kuwa kuwa ni St. Francis Girls, Feza Boys, Kemebos, Bethel Saabs Girls, Anuarite, Marian Gilrs, Canossa, Feza Girls, Marian Boys na Shamsiye Boys.

Hata hivyo, Dkt. Msonde ametaja shule 10 zilizofanya vibaya katika mtihani wa taifa ni : Kusini, Pwani Mchangani, Mwenge, Langoni, Furaha, Mbesa, Kabugaro, Chokocho, Nyeburu na Mtule.

Kuona Matokeo, Bonyeza hapa>>> MATOKEO YOTE

 SIKILIZA MAAJABU YA KISIWA HIKI. Bonyeza hapa>>> DOWNLOAD MP3
Sikiliza hapa MAAJABU YA PAKA WA UINGEREZA OFISINI>>>Bonyeza hapa>>> DOWNLOAD MP3 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.