Wanasayansi wagundua jinsi ya kuweka sawa kumbukumbu za binadamu, haijawahi kutokea!
Wanasayansi Marekani wameeleza kuwa upo uwezekano wa hivi karibuni
kupata tiba ya kukurekebisha kumbukumbu za binadamu jambo ambalo
halijawahi kutokea duniani.
Kwa mujibu wa Jukwaa la Uchumi Duniani ‘WEF’ Wataalamu hao kutoka Chuo Kikuu cha Afya Columbia na McGill wamegundua aina mbili za mishipa ambayo inaweza kutumiwa kufuta kumbukumbu za matukio mabaya kwenye akili ya binadamu.
Mmoja wa Wataalamu hao Samuel Schacher amesewa kufanikiwa kwa matibabu hayo kutaponya watu wenye matatizo ya hofu, kiwewe, wasiwasi, msongo wa mawazo na mengine yanayotokana na matukio yaliyotokea siku za nyuma.
Chanzo: Millardayo
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
Kwa mujibu wa Jukwaa la Uchumi Duniani ‘WEF’ Wataalamu hao kutoka Chuo Kikuu cha Afya Columbia na McGill wamegundua aina mbili za mishipa ambayo inaweza kutumiwa kufuta kumbukumbu za matukio mabaya kwenye akili ya binadamu.
Mmoja wa Wataalamu hao Samuel Schacher amesewa kufanikiwa kwa matibabu hayo kutaponya watu wenye matatizo ya hofu, kiwewe, wasiwasi, msongo wa mawazo na mengine yanayotokana na matukio yaliyotokea siku za nyuma.
Chanzo: Millardayo
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA