Header Ads

Breaking News
recent

Selena Gomez amekula mchongo na kampuni ya Puma

Staa wa muziki kutoka Marekani maarufu kama Selena Gomez kupitia account yake ya Instagram amethibitisha kula shavu na kampuni kubwa duniani ya PUMA.

Selena juzi kati alikabiliwa na kufanyiwa upasuaji kutokana na kupatwa na tatizo la figo, hata hivyo tatizo hilo limeweza kumuacha salama na sasa amepiga mchongo na kampuni ya mavazi, viatu na vifaa kibao vya PUMA.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.