Audio: Msanii Sam Bruno ameachia wimbo unaitwa 'Hello Hater'
Msanii aliyewahi kufanya kazi na wasanii kibao akiwemo Kanye West na Lady Gaga, unaweza muita Sam Bruno sasa amedondosha wimbo wake binafsi unaozidi kuwashika mashabiki wake, wimbo unaitwa 'Hello Hater'.
Unajua jina la huu wimbo lilikujaje? Msanii huyu alikuwa studio na wenzake, wakati ameshika mic aki freestyle mara akaimba hivi “They never, never shut up,” mara wenzeke wakaitikia, ‘Hey, haters never shut up, mara msanii huyo akaona mbona huu ndo mchongo, basi sawa.” I was like, “Perfect!”
Sikiliza wimbo wake mpya hapo chini>>>
Unajua jina la huu wimbo lilikujaje? Msanii huyu alikuwa studio na wenzake, wakati ameshika mic aki freestyle mara akaimba hivi “They never, never shut up,” mara wenzeke wakaitikia, ‘Hey, haters never shut up, mara msanii huyo akaona mbona huu ndo mchongo, basi sawa.” I was like, “Perfect!”
Sikiliza wimbo wake mpya hapo chini>>>

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA