Kama wewe ni mtumiaji wa simu za Sumsung basi hii habari itakufaa sana wakwetu, ikiwa nibaada ya toleo lililopita kuzingua, sasa Sumsung imepanga kuzindua simu mpya za Galaxy S8 mwezi Machi..
Kampuni ya Samsung inatarajia kuzindua simu za Galaxy S8.
Reviewed by
KISHINDO TZ
on
Tuesday, February 14, 2017
Rating:
5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA