Dunia ya adhimisha miaka 25 ya kuanzishwa kwa matumizi ya mtandao wa Internet duniani kote (World Wide Web).
![]() |
| Sir Tim Berners-Lee muanzirishi wa world wide web |
Siku hii pia inafanya wakumbukwe watu muhimu katika ugunduzi wa mtandao wa Internet, mmoja wapo
akiwa ni Sir Tim Berners-Lee na
waanzirishi wenzake wote.
Historia ya Internet nyuma, inasema kuwa, utafiti ulifanywa na serikali ya shirikisho Marekani mwaka 1960 wa kujenga mawasiliano imara kupitia mitandao ya kompyuta.
Leo Agosti 23, 2016
ni siku ya (Internaut) yani sherehe ya maadhimisho ya kutimiza miaka 25 ya mtandao wa dunia nzima
yani (World Wide Web), ambayo ilitengenezwa katika maabara ya CERN (Enquire /
EV project) huko Switzerland mwaka 1989-1990, na kufunguliwa kwa watumiaji wampya
baada ya siku hiyo mwaka 1991.

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA