Mwanamuziki wa miondoko ya kizazi kipya maarufu kama Stopa Rhymecca, amesoma nyakati kwa kuachilia wimbo mpya unaoelezea njinsi rasilimali za taifa zinavyopotea hapa nchini, hivyo ameamua kutoa wimbo unaozungumzia kuokoa maisha ya "Tembo na Faru", usikilize hapo chini.....
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA