Header Ads

Breaking News
recent

PICHA: HUYU NDIYE MSANII WA FUTUHI ALIYEFARIKI DUNIA.

Msanii wa maigizo ya vichekesho kutoka kundi la Futuhi lililopo jijini Mwanza nchini Tanzania, maarufu kama Mzee Dude, aliyefariki dunia takribani siku tatu zilizopita katika hospitali ya bugando, baada ya kuugua gafla, sasa mashabiki wake wakumbushwa baadhi ya sehemu kadhaa alizokwisha cheza enzi za uhai wake kupitia kituo cha Star Tv hapo jana.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.