Director Nisher ameufungua mwaka kwa kishindo kwa video kali ya Joh Makini, Nick wa
Pili na G-Nako ya wimbo wao uliotoka mwaka jana. Video ilifanyika mapema
mwezi huu jijini Arusha na kutumia siku tano kushoot. Wimbo ulitengenezwa
na Nahreel pamoja na Chizan Brain.
.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA